KWA HILI ELIMU INAHITAJIKA KWA KASI KUBWA


 Juzijuzi nilimtebelea rafiki yangu ambaye anajitahidi kuishi kama wale anaowaona kwenye Luninga, sasa yeye ana kavulana kake kako nasari, nako anakalea kama vile vitoto vya kwenye Luninga, mwenyewe anakaita junia sijui junia ndio hivyo hivyo, na kwa vile kule nasari kamejifunza kutamka Dadi and Mami badala ya baba na mama, jamaa yangu anajiona mjaaaanja, basi Kabwamdogo hako hakakaripiwi wala kukatazwa chochote.

Nilipata taarifa kuna siku kalimvua baba yake taulo alipokuwa katoka bafuni tena mbele za watu, jamaa akaishia kusema tu, "No Junia no...! is bad!? Na kucheka cheka huku akisifu, "Tatizo la huyu mtoto ni ana akili za kikubwa? Ene wei siku hiyo jamaa akanikaribisha kwake, basi kwa kweli ilikuwa kero, mara Junia kaleta mpira anaupiga mbele yetu anaangusha vitu, anatupiga usoni na mpira anaangaliwa tu, "Junia no!", anapanda meza mara kabati, jamaa yangu na mke wake utadhani wamelogwa, wanakenua tu meno, "No Junia no" Mara mbili hivi kakaniparamia na kutaka kunivua miwani yangu, 'Kwa ustaarabu wa nyumba ile na mie nikatoa ya kinafiki, 'No Junia no'.

Bahati nzuri mama Junia akaingia jikoni, Baba Junia akaenda chumbani kidogo, sebuleni tukabaki mimi na hiki kidude kisichokuwa na chembe ya adabu. Si kikaanza vimaswali vya maudhi...! "Leo umekuja kula kwetu?" "Kwenu mna TV? Babako anakuleteaga chokoleti?" Kikawa mara kivunje kikombe mara glasi, mama yake anapiga kelele toka jikoni, "Junia yu a veri bed". Sasa chenyewe si kikakosea kikanipanda kichwani na kuanza kunivuta nywele nikaona sasa hii zereu.

Basi nilikishika mkono nikakitolea macho na kukifinya vizuri mgogongoni. Kwanza kilitoa macho kama kinataka kufa, kikaniangalia hakiamini akili yake kuwa kimefinywa na binadamu aliye hai, na mie nikakiambia kwa sauti ya chinichin... "We Junya ukinisogelea tena nakukata masikio kabisa".

Eeh bwana we kilitimka mle sebuleni mkojo unakitirirka kikaelekea jikoni. Kufika huko nilitegemea kianze kulia kwa nguvu, kikawa kimya. Mama yake anakiuliza "Junia umefanya nini tena baba?" kimya "Junia what has happened?" kimya, mama yake akaja huku chenyewe kimejificha nyuma ya gauni la mamake, "Huyu kafanya nini?" Nikajibu kwa sauti ya mtu asiye na dhambi kabisa... "Wala sijui nimeona tu katimka hapa kaja huko".

Baada ya hapo kukawa na displin mle ndani tukala na kuzungumza bila fujo. Baba Junia kila mara akimwangalia mwanae na kumuuliza, "Junia a yu sik? Unaumwa?" Junia akinitupia jicho mwenyewe alikuwa ananyamaza anajua kuna kukatwa masikio.

Wengine hatuangaliagi Luninga ohooo!




Jamaa mmoja kakodi taxi akiwa anatembea katika jiji mara akapita kipenda cha gest
Moja akamuona mkewe akiingia ndani ya gest.

Jamaa akamwambia dereva simama, jee..? Unataka laki tatu za chap chap..?

Dereva akajibu ndio, Jamaa akamwambia nenda mle gest kamtoe mke wangu picha yake hii hapa
Tena uwe unampiga, mateke, vichwa, makofi mpaka ufike nae hapa

Dereva akaingia gest ile kutoka anakuja na mwanamke mwingine na kichapo kinaendelea.

Jamaa
Kaduwaa na kusema we vipi mbona huyu sio yeye..?

Dereva akajibu huyu mke wangu, Subiri nitakwenda kumtoa na wa kwako pia...!
`
A man was shocked to see his beautiful divorced neighbor knocking on his door one Friday evening.
. "I'm feeling so lonely that I can't stand it." she said.
"I want to go out, get drunk & want to enjoy my life. Are you free tonight?"
"Yes!" he replied enthusiastically.
"Wonderful." she said.

"Then please take care of my kids..

Jamaa mmoja kakodi taxi akiwa anatembea katika jiji mara akapita kipenda cha gest
Moja akamuona mkewe akiingia ndani ya gest.

Jamaa akamwambia dereva simama, jee..? Unataka laki tatu za chap chap..?

Dereva akajibu ndio, Jamaa akamwambia nenda mle gest kamtoe mke wangu picha yake hii hapa
Tena uwe unampiga, mateke, vichwa, makofi mpaka ufike nae hapa

Dereva akaingia gest ile kutoka anakuja na mwanamke mwingine na kichapo kinaendelea.

Jamaa
Kaduwaa na kusema we vipi mbona huyu sio yeye..?

Dereva akajibu huyu mke wangu, Subiri nitakwenda kumtoa na wa kwako pia...!
`
A man was shocked to see his beautiful divorced neighbor knocking on his door one Friday evening.
. "I'm feeling so lonely that I can't stand it." she said.
"I want to go out, get drunk & want to enjoy my life. Are you free tonight?"
"Yes!" he replied enthusiastically.
"Wonderful." she said.

"Then please take care of my kids..

KIJANA NA MAENDELEO

kwa nini asilimia kubwa ya vijana tunashindwa kuwa na uwezo wa kujitegemea kuanzia umri wa miaka 24???,na je nini kifanyike kuweza kutatua hili tatizo???
Kwa ushauri,maoni, tuma kupitia: Tanzaniayangu31@gmail.com

Habari ya saizi wananchi wenzangu.Mimi ni mwanaume nina miaka 27 ni mkazi wa arusha,mnamo mwaka 2011 nilikutana na msichana (Ambaye ndio mchumba wangu),ilipofika mwaka 2013 tukabahatika kupata mtoto wa kiume.Sasa wazazi wa mwanamke hawataki mimi niishi na mtoto wao kwa sababu ya tofauti zetu za kidini,na mchumba wangu yeye anasema yuko tayari hata kubadili dini kwa ajiri yangu tatizo ni wazazi wake,na inafika mahali ndgu zake wananiombea mabaya ilimradi niachane na mtoto wao,sasa nimekuja kwenye ukurasa huu wa ushauri wako kuomba msaada wa mawazo mana imeshakuwa tatizo.






Babu alikuwa anaongea na wajukuu zake na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo
 Babu:Kabla ya siku 3 vita vya dunia kuisha mimi pamoja na rafiki zangu tulitekwa na maadui zetu,nusu yetu waliuawa na nusu waliobaki wakabakwa
 Mjukuu: Sasa babu wewe walikufanya nin?
 Babu;Mmmmmh...aah..et...nilikuwa kwenye kundi la wale waliouawa
Mwajiri: Elimu yako?
Muomba Kazi: Form 4
Mwajiri: Unajua English?

Muomba Kazi: Mimi naomba kazi ya ulinzi, hao wezi watakaokuja kuiba hapa ni wazungu?
*When you dating an educated and civilized woman who has class and ambition, you get texts such as these:*

1. Morning Dear, Hope you had a wonderful night. How are you today? Wake up get ready for work. Dont forget to send your application for the job I told you about yesterday.

2. Yes Darling, I miss you so much, i hope you're enjoying your day, I am heading out for lunch. Talk later. Take care of yourself. Love you!

3.Yes dear I am at the shop doing grocery for the house, next time I am coming with you.

4.Dont put yourself under pressure my love, i know you will achieve your goal, you have my full support.

*THEN THOSE WITH JUST A BIRTH CERTIFICATE*

1. Morning babe, send me some airtime, plz bae.

2. Hello sweet babez I am coming over for some pizza over lunch? And someone is selling nice perfumes can I take one plz. Luv u xoxoxo much.

3. Hey handsome, buy me data plz. Also wanted to tell you my neighbor is selling skinny jeans, nice shoes from USA and brazilian hair. You will let me know when you are ready to get me these. Loving u lots.

4.Me and my friends want to go to Cafe javas for drinks, I need some money.

5.baby I don't feel like reading, can we chat pliiiizz.


MARRIAGE AND BRIDE PRICE ACT No123 of 2016
Pride price must be Tzs 700,000 with the following
deductions.
Not educated - Tzs100,000
Not a virgin - Tzs 250,000
Comes with kids - Tzs 80,000 (number of kids)
Can't clean - Tzs 80,000
Can't cook - Tzs 50,000
Unemployed - Tzs 70,000
Lazy - Tzs 50,000
Drunkard - Tzs 70,000
Artificial skin colour -Tzs 50,000
Artificial Bottom - Tzs 50,00
Artificial breast - Tzs 50,000

If the total comes to a negative amount, then
they must pay you for taking their burden...
No stories...


madem wa siku hizi


Unapewa number na dem alaf
anakuambia uwe unampigia saa 6 pekee,
unashindwa kuelewa na unajiuliza ni kwanini? kidogo kidogo
ukichunguza na unagundua amekusave

"alarm"....... 

Hahaha lugha ya mzungu

MKE: Mme wangu, hivi kumvalisha nepi mtoto kwa kingereza wanasemaje?
MME: Duh kweli nimeoa mke kilaza, unashindwa hata hio?
Mke: Jamani basi mwenzangu kipanga unaejua ngeli niambie.
MME:  Yani unashindwa kusema "KIDNAPPING"


Tcra -Tanzania


Baada ya mke kumtafuta mumuwe kwenye cm tangu jana usiku hapatikani akamua akirudi amuwekee mnuno.
Baada mume kuingia:
Mume: Baby mambo vipi?
Mke: Kimya ??
Mume: Nmekumisije.
Mke: Kimya ??
Mume: Chakula vipi?
Mke: Kimya ??
Mume: Uko sawa kweli?
Mke: Kimya ??
Baada ya kuona hakuna jibu akaanza akashika kichwa, "TCRA sasa huku mmefika mbali mmezima simu yangu tangu jana mmeona haitoshi naona mmeamua kumzima hadi mke wangu?"
Mke ilibidi aangue kicheko tu



WANAUME TUSHIRIKI KATIKA SALA HII DHIDI YA WANAWAKE!


1. Atakua na simu yake mpo nyumbani dakika hiyo anakwambia umbip hajui kaiweka wapi.
Tuhurumie Baba
2. Ana Nguo zimejaa makabati mawili lakini hajui avae nini ukimwambia mtoke.!
Baba, ni magumu kwetu mambo haya.
3. Anakasirika ukikosa kumtumia text ya good night lakini yeye akikosa wewe inabidi uwe muelewa.!
Tuwaeleweje, Baba?
4. Ana viatu zaidi ya pea 50 lakini hana viatu vya kuvaa vya kwenda ibadani.
Mungu uwasamehe
5. Akianza kuvaa saa moja atamaliza saa tano muda wote inabidi umsubiri tu.
Si kupenda kwao Baba ila nasi yanatushinda Bwana
6. Akienda saloon anakaa kuanzia asubuhi mpaka jioni na huna budi kumsubiri na usilalamike.
Mungu wetu, tupe moyo wa kuyahimili haya
7. Ana mafuta tofauti ya kujipaka mikono, shingo, kisogo, miguu, mpaka kisigino!
Ee Mungu ni Wewe uyajuaye mateso tuyapitiayo Baba
8. Mnaachana asubuhi akiwa na furaha,na ukirudi jioni amenuna hataki hata kukusalamia na ukiuliza tu balaa.
Tupe uvumilivu ee Bwana!
9. Anajaribu ku match nguo na hereni na akiona hazifanani abadili nguo sababu tu ya hereni.
Teremka uwashike mikono yao baba..
10. Mkitembea barabarani inabidi ukae upande wa barabara eti wewe ni Mwanaume ukigongwa na Gari haina noma.
Eeh baba tuepushe na Hiki kikombe ulisema hawa ni wasaidizi wetu lakini tumekuja kuwa wafanyakazi wao.
Amina..

VALENTINE SAY.

if u see your sister stay at home during valentine day, you must know she date with someone husband
some girl tell their boyfriends that they need time and distance .My sister are you calculating velocity??
wife - what is 10 years with me?
husband - a second

wife- what is $ 1000 for me
husband - a coin

wife -o give me a coin
husband - wait a second

mjini chuo



Jamaa mmoja alikosea
kutuma M-pesa Tshs
500,000/ =zikaenda
namba nyingine
alipogundua kakosea
namba akatuma meseji
ifuatayo kwenye namba
iyo"UMETEULIWA KUINGIA
KATIKA CHAMA CHETU CHA
FREEMASON NA
TUMESHAKUTUMIA PESA
KWENYE CM YAKO BAADA
YA DAKIKA 15 ATAKUFA
MWANAO UMPENDAE KAA
NJIA PANDA GARI YETU
NYEUSI ITAKUFUATA UJE
UNYWE DAMU YA
MWANAO KAMA
UTASHINDWA MASHARTI
RUDISHA PESA YETU
HARAKA SANA KABLA YA
MAAFA."

Baada ya dakika
1 tu jamaa akarudisha
hela kwa kushindwa
mashart

Ways of breaking up with your lover before Valentine


1. 16 Missed Calls? You Killed My Battery so you?re Capable of Killing Me... It's Over!!!
_
2. You don't even respect me. I'm talking and you are busy breathing? It's over!
_
3. I called you and you picked up immediately. You lack patience. It?s over!!
_
4. I told u I love my food hot but you refused to warm the ice cream. You don't care about me. It's over!
_
5. I gave u 2 eggs, to boil one and fry the other. You fried the one you were supposed to boil and boiled the one you were supposed to fry. You are not obedient, It?s over!
_
6. I call u DARLING and you called me HONEY. Indirectly, you?re calling my mother a BEE. No respect for in- laws, pack your bags. its over.


Hapa kazi ipo

Familia moja ilikubaliana kuweka ratiba ya kila mwanafamilia kuchagua chakula cha kupika siku
SIKU YA KWANZA
baba- leo tule wali samaki,ukapikwa wali samaki
SIKU YA PILI
mama- leo tule mtori nyama, ukapikwa mtori nyama
SIKU YA TATU
mtoto (miaka 3) - tule ubuyu....baba na mama wakabaki wanatazaman usoni

Valentine day

WAKUBWA TU WATAELEWA.....

FASIHI HII.....

Wanawake mmejaaliwa kuwa na LAPTOP zinazopendeza saanaa na laptop zenu zina port kwa ajili ya kuingizia EXTERNAL data msiruhusu kila FRASH DISK kuingia kwenye PORT zenu,Flash zingine zina VIRUS maana hamjui zimetoka wapi kwenye ma internet cafe TUNZENI laptop zenu mpaka mtakapo miliki FRASH DISK zenu ambazo mtakuwa mnauhakika kwamba hazina virus, na kama ushamiliki itunze vizuri usii na iwe kwa matumizi yako tuu vinginevyo.

WANAUME tunzeni FRASH DISK zenu kuna laptop kwa nje zinaonekana ni NZURI kweli na zinavutia lakini hazijafanyiwa window updates kwa muda mrefu na hazina ANTVIRUS sio kila laptop unachomeka tu utajikuta umepoteza mafaili yako yathamani yatakapo liwa na VIRUS
NAJUA flash zinapenda sana kuingia kwenye kila laptop lakini ni vema mkazicontrol mpaka pale mtakapomiliki laptop zenu binafsi na kama ushamiliki yako basi hakikisha unailinda sana.

Ni kweli zimetengenezwa kutumika na flash inaenea kila port lakini pia laptop inafit kila flash....je, unauhakika ziko salama!!
subiri umiliki yako na kabla hujaitumia kaiscan kuthibitisha usalama wa laptop au flash yako. tanx......
Happy Valentine day 2016
nimekutana na dogo njiani analia nikamuuliza kwa nini analia akaniambia amepewa na mama yake mia tano mbili, moja anunue maziwa nyingine anunue karanga.Sasa amesahau mia tano gani atumie ununua karanga na ipi anunulie maziwa.

Simba na jamaa

Baada  ya maisha magumu jamaa kaenda kuomba kazi hifadhi ya wanyama,alipofika wakamwambia kazi ambayo wanaweza kumpa ni kazi ya yeye kujifanya sokwe pindi wanapokuja watalii.Kutokana na maisha magumu jamaa akakubali bhasi akakabidhiwa ngozi ya sokwe ili aivae.Siku walipokuja watalii banda la sokwe likawekwa juu ya banda la simba na jamaa ikatakiwa aingie ndani ya banda hilo,watalii walivofika jamaa akaanza kujirusha kwa nguvu zote kama sokwe ili kuwafurahisha watalii,kwa bahati mbaya mbao zilizokuwa zinatenganisha kati ya simba na banda lake zikavunjika na jamaa aadumbukia ndani ya banda la simba.Kwa uoga jamaa akaanza kupiga kelele za kuomba msaada kwamba yeye  ni binadamu,kwa mshangao akaona simba akimziba mdomo kisha akamwambia " oya mbona unakuwa muoga ivo?, hebu tulia sisi sio simba ni binadamu kama wewe."