Babu alikuwa anaongea na wajukuu zake na mazungumzo yao yalikuwa kama ifuatavyo
 Babu:Kabla ya siku 3 vita vya dunia kuisha mimi pamoja na rafiki zangu tulitekwa na maadui zetu,nusu yetu waliuawa na nusu waliobaki wakabakwa
 Mjukuu: Sasa babu wewe walikufanya nin?
 Babu;Mmmmmh...aah..et...nilikuwa kwenye kundi la wale waliouawa