Chezea ndoa wewe..!
Mchepuko. Baby unanipenda?
Mshikaji:
Wewe ndiyo kila kitu kwangu. Na wewe je unanipenda?
Mchepuko: yaani kwako siambiwi kitu, mahaba niue nakupenda mpaka naumwa.
Mshikaji: Thanks my Onyienye.
Mchepuko:
Baby nikuombe kitu.?
Mshikaji:
Omba chochote bby kwa ajili yako nitafanya...
Mchepuko:
Promise Baby.!
Mshikaji:
I promise darling.
Mchepuko:
Naomba leo uniweke kwenye profile whatsup.
Mshikaji:
Hilo tu mbona dogo sana nakuweka sweetheart. Ila je, na mimi nikikuomba kitu utakubali ?????
Mchepuko:
Thanks love ndiyo maana nakupenda. wewe tena omba honey hata ukitaka mapacha ntakuzalia.
Mshikaji:
Naomba nkiweka picha yako status niandike R.I.P??.
Mchepuko: Mwanaharamu wewe weka picha ya mamako ndo uandike huo ushuzi wako kafiri wewe mwana izaya usiye na haya.. mfyuuuuu??????