Baada ya uchaguzi mgombea aliyeshindwa kwa kura alikutwa
akilalamika kuwa wamemwibia kura.Mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo;
Mgombea:Huu uchaguzi wamenionea,wameniibia kura?
Mwananchi:Kwa nini unasema wamekuibia kura??
Mgombea:Ni kwa sababu watu wanaonipa pole ya kushindwa ni
wengi kuliko walionipa kura.
Mwananchi;Akakimbia mazungumzo.