MAMBO YA MUHIMU YA KUZINGATIA KULINDA MAHUSIANO YAKO.


Leo katika safu hii ninakuletea mambo muhimu ya kufanya ili kulinda mahusiano yako kwa mwezi wako umpendae kwa dhati.Asilimia kubwa ya mahusiano yanayovunjika ni kwa kukosa njia nzuri za kulinda mahusiano yao.

1. Udhibiti wa taarifa kwa wengine:  Kadri unavyoelezea mahusiano yako kwa watu wengine ndivyo unavyowapa nafasi watu kutoa maoni, na hata kudhani kuwa Awana dhamana ya kukuelekeza unavyotakiwa kuishi na mwenza wako. Hivyo basi, chukua muda wa kutosha kutafakari na kufanya uchunguzi kuhusu maswala yako ya mahusiano kabla haujaanza kutafuta maoni, ushauri kwa watu wengine. Ni bora ukasoma vitabu, na makala mbalimbali, hususani zihusuzo tabia na maisha ya mahusiano, zitafakari vema ili kuona zinahusiana vipi na unayokumbana nayo katika mahusianao yako.

2. Upekee wa mambo ya mwezi wako:  Tambua kuwa tabia ya mpenzi wako inaweza kuwa ni ya kipekee, mazingira pia ya tukio linalokufanya utake ushauri au maoni kwa wengine yanaweza kuwa ni ya kipekee, hivyo ushauri au maoni utakayopokea yanaweza yasikusaidie moja kwa moja katika suluhisho lako. Ukitambua hili, utafanya bidii ya kujenga uwezo binafsi wa kuchambua tatizo unalokumbana nalo katika mahusiano na kutafuta suluhisho kabla ya kutegemea watu wengine.


3. Mwenye maamuzi unayoyachukua: Ni kweli kuwa kuna nyakati ni muhimu kupata ushauri kutoka kwa watu wengine, na zaidi sana watu wenye uelewa sahihi na unaowaamini, hakikisha kuwa unatambua kuwa wewe mwenyewe ndio mwenye kubeba lawama ya maamuzi utakayochukua. 


4. Kuwa na subira: Usichukue maamuzi ya haraka katika mahusiano hususani uamuzi wa kuamua kuwashirikisha watu wengine habari ya mambo yanayohusu uhusiano wako. Unapofanya uamuzi wa kuwashirikisha wengine kwa haraka  unajinyima nafasi ya kulichunguza jambo kwa ufasaha hususani madhara yanayoweza kutokea kwa kuwaeleza wengine, au kama ni tatizo, basi kufikiria njia sahihi ambazo ungeweza  kuzitumia kupata suluhu ya tatizo. 

5. Fungua njia za mawasiliano kati yenu: Pengine chanzo cha wewe kutaka kuzungumza mambo ya ndani yanayohusu mahusiano yenu kwa watu wengine ni kwakuwa umekosa  nafasi ya kuzungumza kwa ufasaha na mwenzi wako. Tafuteni nafasi za kutosha, jengeni mazingira ya kuzungumzia mambo yenu kabla ya kutaka kuwashirikisha watu wengine. 



6. kuwa mbunifu’ :  Kumbuka mahusiano yanahitaji sana uelewa mkubwa wa jinsi ya kufanya mawasiliano fasaha, kuelewa hisia za mwenzi wako, kutambua mbinu za kusuluhisha migogoro, na zaidi sana kufanya mipango ya muda mrefu ya uhusiano wenu. Jizoeshe kusoma makala na vitabu mbalimbali vyenye kuboresha ufahamu wa mambo ya msingi kama hayo tuliyoeleza hapo juu. Vile vile kuwa mbunifu wa mambo mbalimbali kwa mwezi wako kama vile kuhakikisha unajua vitu gani anapenda ukimfanyia au vitu gani hapendi ukivifanya.

 7. Kuweni peke yenu: Hata kama hautaki kueleza watu kuhusu mambo yanayoendana na maisha yenu, mazingira unamoishi yanaweza kuchangia watu kutaka kuingilia mahusiano yenu –kwa kutoa maelekezo, ushauri au maoni kuhusu muishivyo wewe na mpenzi wako. Inapobidi hakikisha hamuishi karibu na wazazi wenu, ndugu au rafiki wa karibu. Au haufanyi kazi na mwenzi wako sehemu moja, kwani hiyo itakuwa njia rahisi sana ya watu kuona mnavyoishi.  Inapobidi kuwa karibu na watu wengine , hakikisha mnakubaliana wewe na mwenza wako namna bora ya kuendesha mawasiliano kati yenu mbele za watu, ili msiwape nafasi ya wao  kumi‘soma’ na kisha kuanza waje waanze kutoa ‘maelekezo’ ya vile wanavyoona mnapaswa kuishi.




A guy and his wife are sitting and watching a boxing match on television. The husband sighs and complains, “This is disappointing. It only lasted for 30 seconds!” “Good,” replied his wife. “Now you know how I always feel.”
There was a papa mole, a momma mole, and a baby mole. They lived in a hole out in the country near a farmhouse. Papa mole poked his head out of the hole and said, "Mmmm, I smell sausage!" Momma mole poked her head outside the hole and said, "Mmmm, I smell pancakes!" Baby mole tried to stick his head outside but couldn't because of the two bigger moles. Baby mole said, "The only thing I smell is molasses
Two students were arguing when their teacher entered the classroom. The teacher says, “Why are you arguing?” One boy answers, “We found a ten dollar bill and decided to give it to whoever tells the biggest lie.” "You should be ashamed of yourselves," said the teacher, "When I was your age I didn’t even know what a lie was." The boys gave the ten dollars to the teacher.

NJIA ZA KUPATA MAFANIKIO-KUTOKA MNARA WA MLINZI


MTU anafanikiwa kikweli kwa kupata njia bora kabisa ya maisha ambayo inatokana na kufuata viwango vya Mungu na kuishi kupatana na kusudi la Mungu kwa wanadamu. Biblia inasema kwamba mtu anayeishi maisha ya aina hiyo “atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao hutoa matunda yake katika majira yake na ambao majani yake hayanyauki, na kila jambo analofanya litafanikiwa.”Zaburi 1:3.
Naam, ingawa sisi si wakamilifu na tunafanya makosa, tunaweza kufanikiwa maishani! Je, hilo linakuvutia? Ikiwa ndivyo, basi kanuni sita zinazofuata za Biblia zinaweza kukusaidia ufikie lengo hilo na hivyo kuthibitisha waziwazi kwamba kwa kweli mafundisho ya Biblia ni hekima inayotoka kwa Mungu.—Yakobo 3:17.
1 Uwe na Maoni Yanayofaa Kuhusu Pesa
“Kupenda pesa ni chanzo cha mambo mabaya ya namna zote, na kwa kujitahidi kufikia upendo huo wengine . . . wamejichoma wenyewe kila mahali kwa maumivu mengi.”(1 Timotheo 6:10) Ona kwamba tatizo si pesa, kwa kuwa sisi sote tunahitaji pesa ili kujitunza na kutunza familia zetu. Tatizo ni kupenda pesa. Kwa kweli, upendo huo hufanya pesa ziwe bwana, au mungu.
Kama tulivyoona katika makala ya kwanza ya mfululizo huu, watu ambao hukimbizana na utajiri ili wapate mafanikio, kwa kweli wanafuatilia upepo. Mbali na kutamaushwa wanapatwa na maumivu mengi. Kwa mfano, katika jitihada zao za kutafuta mali nyingi, mara nyingi watu hupuuza uhusiano wao wa familia na marafiki. Wengine hukosa usingizi, si kwa sababu ya kazi tu, bali pia kwa sababu ya wasiwasi. “Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha,” inasema Mhubiri 5:12.—Biblia Habari Njema.
Zaidi ya kuwa bwana mkatili, pesa ni bwana mdanganyifu pia. Yesu Kristo alizungumza kuhusu “nguvu za udanganyifu za utajiri.” (Marko 4:19) Hilo linamaanisha kwamba utajiri humwahidi mtu kwamba utampa furaha, lakini haufanyi hivyo. Badala yake unamfanya mtu atamani utajiri zaidi. “Anayependa fedha hatatosheka na fedha,” inasema Mhubiri 5:10.
Kwa ufupi, mtu anayependa pesa anajiumiza tu. Anavunjika moyo, anakatishwa tamaa, au hata kujihusisha katika uhalifu. (Methali 28:20) Ukarimu, kuwa tayari kusamehe, usafi wa maadili, upendo, na uhusiano mzuri pamoja na Mungu, ni mambo yanayoleta furaha na mafanikio.
2 Sitawisha Roho ya Ukarimu
“Kuna furaha zaidi katika kutoa kuliko ilivyo katika kupokea.” (Matendo 20:35) Ingawa kuwapa watu vitu mara kwa mara kunaweza kumfanya mtu awe na furaha ya muda, roho ya ukarimu inaweza kumfanya awe na furaha ya kudumu. Ni kweli kwamba kuna njia mbalimbali za kuonyesha ukarimu. Mojawapo ya njia bora na inayothaminiwa sana ni kutenga wakati ili kuwa pamoja na watu na kufanya mambo nao.
Baada ya kupitia uchunguzi mwingi kuhusu furaha, afya, na kutokuwa na ubinafsi, mchunguzi Stephen G. Post alisema kwamba kutokuwa na ubinafsi na kuwasaidia wengine kunahusianishwa na maisha marefu, afya nzuri kimwili na kiakili, kutia ndani kupunguza kushuka moyo.
Isitoshe, watu wanaowapa watu vitu kwa ukawaida hawapungukiwi na chochote maishani kwa sababu tu ya kuwa wakarimu. Methali 11:25 inasema hivi: “Mtu mkarimuatafanikishwa, amnyweshaye mwingine maji naye atanyweshwa.” (BHN) Kupatana na maneno hayo, watu ambao ni wakarimu kutoka moyoni, ambao hawawapi watu vitu wakitarajia kulipwa, wanathaminiwa na kupendwa na Mungu.—Waebrania 13:16.
3 Samehe kwa Hiari
“Endeleeni . . . kusameheana kwa hiari ikiwa yeyote ana sababu ya kulalamika juu ya mwingine. Kama vile Yehova alivyowasamehe ninyi kwa hiari, nanyi fanyeni vivyo hivyo pia.” (Wakolosai 3:13) Siku hizi, watu hawako tayari kusamehe; wao hulipiza kisasi badala ya kuonyesha rehema. Matokeo ni nini? Wanapotukanwa wanatukana, nao hulipiza jeuri kwa jeuri.
Mambo hayaishii hapo tu. Ripoti moja katika gazeti The Gazette la Montreal, Kanada inasema kwamba “katika uchunguzi uliofanyiwa watu zaidi ya 4,600 wenye umri ya kati ya miaka 18 hadi 30,” wachunguzi “waligundua kwamba uhasama, kukata tamaa, na kutokuwa na fadhili” hufanya mapafu yawe mabovu. Kwa kweli, mambo hayo yanaweza kufanya mapafu ya mtu kuwa mabovu zaidi kuliko ya mvutaji wa sigara! Bila shaka, kusamehe hakufanyi iwe rahisi kushughulika na wengine tu bali pia kunafaidi afya yetu!
Unawezaje kusamehe zaidi? Anza kwa kujichunguza kwa unyoofu. Je, nyakati nyingine huwakasirishi watu? Unafurahi wanapokusamehe? Kwa hiyo, mbona usiwaonyeshe wengine rehema? (Mathayo 18:21-35) Pia ni muhimu kujizuia. “Hesabu moja hadi kumi” au tafuta wakati ili utulize hasira. Tambua kwamba kujizuia si udhaifu. “Asiye mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu,” inasema Methali 16:32. Maneno “ni bora kuliko mwanamume mwenye nguvu” yanaonyesha mtu amefanikiwa kikweli, sivyo?
4 Ishi Kulingana na Viwango vya Mungu
“Amri ya Yehova ni safi, huyafanya macho yang’ae.” (Zaburi 19:8) Kwa ufupi, viwango vya Mungu vinatufaidi, kimwili, kiakili, na kihisia. Vinatulinda dhidi ya mazoea yenye kudhuru kama vile, kutumia dawa za kulevya, kulewa, ukosefu wa maadili, na kutazama ponografia (picha au habari za ngono). (2 Wakorintho 7:1; Wakolosai 3:5) Huenda mazoea hayo yakatokeza madhara mabaya kama vile uhalifu, umaskini, kutoaminiana, kuvunjika kwa familia, matatizo ya kiakili na kihisia, magonjwa, na kifo cha mapema.
Kwa upande mwingine, wale wanaoishi kulingana na viwango vya Mungu wanakuwa na mahusiano mazuri, pia wanajiheshimu, na kuwa na amani ya akili. Katika Isaya 48:17, 18, Mungu anasema kwamba yeye ndiye “anayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe, Yeye anayekufanya uende katika njia unayopaswa kutembea ndani yake.” Kisha anaongeza hivi: “Laiti ungesikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingekuwa kama mto, na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.” Ndiyo, Muumba wetu anatutakia maisha bora zaidi. Anataka ‘tuende katika njia’ ya mafanikio ya kweli.
5 Onyesha Upendo Usio na Ubinafsi
“Upendo hujenga.” (1 Wakorintho 8:1) Je, unaweza kuwazia maisha yasiyo na upendo? Yangekuwa maisha yasiyo na maana kama nini! “Ikiwa . . . sina upendo [kwa wengine], mimi si kitu. . . . Sipati faida hata kidogo,” akaandika Paulo, mtume Mkristo aliyeongozwa na roho ya Mungu.—1 Wakorintho 13:2, 3.
Upendo unaotajwa hapa si ule wa kimahaba ambao una mahali pake panapofaa. Badala yake ni upendo unaodumu ambao unaongozwa na kanuni za Mungu.* (Mathayo 22:37-39) Isitoshe, mtu haonyeshwi tu upendo huo bali anauonyesha kwa matendo. Paulo aliendelea kusema kwamba upendo huo ni wenye subira na pia fadhili. Hauna wivu, haujigambi, au kujivuna. Hutafuta faida za wengine, na hauchokozeki kwa urahisi bali ni wenye kusamehe. Upendo kama huo hujenga. Pia, unatusaidia tuwe na uhusiano mzuri na wengine hasa washiriki wa familia.—1 Wakorintho 13:4-8.
Kwa wazazi, upendo unamaanisha kuwa na hisia nyororo kuwaelekea watoto wao na kuwapa mwongozo ulio wazi unaotegemea Biblia kuhusu maadili na tabia nyingine. Watoto wanaolelewa katika mazingira kama hayo hujihisi salama, wanapendwa, na kuthaminiwa wakiwa sehemu ya familia iliyo imara.—Waefeso 5:33–6:4; Wakolosai 3:20.
Jack, anayeishi Marekani, ni kijana aliyelelewa katika familia iliyofuata kanuni za Biblia. Baada ya kuondoka nyumbani, Jack aliwaandikia wazazi wake barua. Sehemu ya barua hiyo ilisema hivi: “Jambo moja ambalo nimejitahidi kufanya ni kufuata agizo [la Biblia] linalosema: ‘Mheshimu baba yako na mama yako . . . ili mambo yakuendee vema.’ (Kumbukumbu la Torati 5:16) Mambo yameniendea vema. Na sasa ninathamini kwamba imekuwa hivyo kwa sababu mlijitahidi kunilea kwa upendo. Asanteni sana kwa kunitegemeza na kwa jitihada zenu nyingi za kunilea.” Kama wewe ni mzazi, ungehisije kama ungepokea barua kama hiyo? Je, hungejawa na shangwe moyoni?
Pia, upendo unaotegemea kanuni ‘unashangilia pamoja na kweli,’ yaani, kweli kumhusu Mungu inayopatikana katika Biblia. (1 Wakorintho 13:6; Yohana 17:17) Ili kufafanua, fikiria mfano huu: Wenzi walio na matatizo katika ndoa yao wanaamua kusoma pamoja maneno ya Yesu yanayopatikana kwenye Marko 10:9: “Kwa hiyo kile ambacho Mungu ameunganisha [katika ndoa] mtu yeyote asikitenganishe.” Sasa, lazima wajichunguze mioyo yao. Je, kweli ‘wanashangilia pamoja na kweli za Biblia’? Je, wataiona na kuitendea ndoa kama kitu kitakatifu, kama vile Mungu anavyoiona? Je, wako tayari kujitahidi kutatua matatizo yao kwa upendo? Kwa kufanya hivyo wanaweza kufanya ndoa yao ifanikiwe, na wanaweza kushangilia matokeo mazuri ya jitihada zao.
6 Tambua Uhitaji Wako wa Kiroho
“Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho.” (Mathayo 5:3) Tofauti na wanyama, wanadamu wana uwezo wa kuthamini mambo ya kiroho. Kwa sababu hiyo, sisi hujiuliza maswali kama haya, Ni nini kusudi la uhai? Je, kuna Muumba? Ni nini hutupata tunapokufa? Wakati ujao utakuwaje?
Ulimwenguni pote, mamilioni ya watu wanyoofu wametambua kwamba Biblia inajibu maswali hayo. Kwa mfano, swali la mwisho linahusiana na kusudi la Mungu kwa wanadamu. Kusudi hilo ni nini? Ni kwamba dunia iwe paradiso inayokaliwa na watu wanaompenda Mungu na viwango vyake. Zaburi 37:29 inasema: “Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia, nao watakaa milele juu yake.”
Ni wazi kwamba Muumba wetu anataka tufanikiwe kwa muda mrefu zaidi kuliko miaka 70 au 80 tu. Anataka tufanikiwe milele! Kwa hiyo, sasa ndio wakati wako wa kujifunza kuhusu Muumba wako. Yesu alisema: “Uzima wa milele ndio huu, waendelee kupata ujuzi juu yako wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na juu ya yule uliyemtuma, Yesu Kristo.” (Yohana 17:3) Unapoendelea kupata ujuzi huo na kuutumia maishani, utagundua kwamba “baraka ya Yehova . . . ndiyo hutajirisha, naye haongezi maumivu pamoja nayo.”—Methali 10:22.
[Maelezo ya Chini]
Karibu kila mahali ambapo neno “upendo” linatumiwa katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo au “Agano Jipya” linatafsiriwa kutoka kwa neno la Kigiriki a·gaʹpe. A·gaʹpe ni upendo wa maadili unaochochewa na kanuni, wajibu, au kutaka kufanya jambo unalopaswa kufanya. Hata hivyo, a·gaʹpe si upendo usio na hisia bali unaweza kuwa wenye kina na mchangamfu.—1 Petro 1:22.
[Sanduku katika ukurasa wa 7]
MAMBO ZAIDI YANAYOLETA MAFANIKIO
▪ Mwogope Mungu kwa njia inayofaa. “Kumwogopa Yehova ndio mwanzo wa hekima.”—Methali 9:10.
▪ Chagua marafiki kwa hekima. “Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima, lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.”—Methali 13:20.
▪ Epuka kunywa au kula kupita kiasi. “Mlevi na mlafi watakuwa maskini.”—Methali 23:21.
▪ Usilipize kisasi. “Msimlipe yeyote uovu kwa uovu.”—Waroma 12:17.
▪ Fanya kazi kwa bidii. “Ikiwa yeyote hataki kufanya kazi, basi na asile chakula.”—2 Wathesalonike 3:10.
▪ Fuata ile Kanuni Bora. “Mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi, lazima mwatendee wao pia vivyo hivyo.”—Mathayo 7:12.
▪ Dhibiti ulimi wako. “Yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema, na auzuie ulimi wake kutokana na yaliyo mabaya.”—1 Petro 3:10.
[Sanduku/Picha katika ukurasa wa 8]
UPENDO NI DAWA NZURI
Dean Ornish, ambaye ni daktari na pia mwandishi anaandika hivi: “Upendo na mahusiano ya karibu ni sababu kuu zinazoweza kutufanya tuwe wagonjwa au tuwe wenye afya, tuhuzunike au tuwe wenye furaha, tuteseke au tupone. Ikiwa dawa mpya ingekuwa na matokeo kama hayo, karibu kila daktari nchini angeipendekeza kwa wagonjwa wake. Ingekuwa kinyume cha sheria za kitiba kukataa kumwandikia mgonjwa dawa hiyo.”
[Sanduku/Picha katika ukurasa wa 9]
ALIYEKATA TAMAA AFANIKIWA
Vita vilipoanza katika nchi yake, Milanko, anayeishi huko Balkani, alijiunga na jeshi. Kwa sababu ya ujasiri wake, alipewa jina la utani Rambo ambalo ni jina la shujaa katika sinema moja ya jeuri. Hata hivyo, baada ya muda Milanko alikatishwa tamaa na ufisadi na unafiki alioona jeshini. Anaandika hivi: “Kwa sababu hiyo nilijihusisha na mambo mengi maovu kama vile kutumia vileo, sigara, dawa za kulevya, kucheza kamari, na ukosefu wa maadili. Maisha yangu yalikuwa mabaya na sikujua jinsi ya kuyaboresha.”

Katika kipindi hicho cha msukosuko maishani mwake, Milanko alianza kusoma Biblia. Baadaye, alipokuwa akimtembelea mtu wa ukoo, aliona gazeti Mnara wa Mlinzilinalochapishwa na Mashahidi wa Yehova. Alifurahia mambo aliyosoma na muda si muda akaanza kujifunza Biblia na Mashahidi. Kweli za Biblia zilimfanya awe na furaha na mafanikio ya kweli. Anasema hivi: “Zilinipa nguvu mpya, niliacha matendo yangu yote maovu, nikawa mtu mpya, na nikabatizwa kama Shahidi wa Yehova. Watu walionijua zamani hawaniiti Rambo tena, bali Sungura, jina langu la utotoni kwa sababu ya upole wangu.”

MAMBO MUHIMU KATIKA KATIKA KUFANIKIA KWENYE MAISHA




Inaweza isiwahusu vijana peke yao lakini kwa kutambua wingi wa rika letu  nimeamua kuwalenga wao ili kuwapa mbinu za kuweza kuwasaidia kujikomboa kimaisha. Hapa chini kuna muongozo wa kumfanya kijana afanikiwe kimaisha.

UNACHOAMINI



Njia ya kwanza ya kijana kujikomboa inaanzia kwenye kile anachoamini katika maisha yake. Katika hali ya kawaida mwanzo wa imani ya mwanadamu hutoka kwa wazazi wake na wakati mwingine mazingira atakayokulia. 

Hali iko hivyo kwenye njia hii ya kwanza ya kijana kuelekea kwenye mafanikio. Wengi tumezaliwa na kurithishwa imani ya kutofanikiwa. Wazazi wetu  walitulea kwa kutuambia maisha ni magumu, hatuwezi kufanikiwa, sisi ni masikini, duni na maneno kama hayo ya kukatisha tamaa.

MAWAZO YAKO


Mawazo ya vijana wengi leo yanaamini kuwa, umasikini ni mzigo mkubwa usiokuwa na ufumbuzi. Kitaalamu mtu anapokuwa na mawazo ya kutokufanikiwa hawezi kufanikiwa kwa sababu mafanikio huhitaji nguvu na nguvu za mwili haziwezi kujitokeza kama hazikuvutwa kufanya kazi.

Kwa msingi huo, ili mtu aweze kufanikiwa lazima mawazo yake yakubali kuwa mafanikio ni sehemu ya lazima katika maisha. Jambo hili haliwezi kutokea mpaka kijana mwenyewe aliyelelewa kwenye mawazo ya kushindwa apigane vita na mawazo ya kutofanikiwa na kuyashinda.

Njia pekee ya kujikomboa na mawazo mgando ni kufuta na kupuuza kauli zote ulizoambiwa na mtu yeyote  kuhusu maisha magumu na kuanza kuamini kuwa, maendeleo ni ngumu kuyafikia.

JUHUDI  ZAKO

Siri kubwa ya mafanikio ni kujituma.Hamna maisha mazuri bila kujishughulisha na kitu chochote au kazi yeyote na tena kazi ambazo ni halali.Hakikisha kwenye shughuli zako unazifanya kwa ufanisi mkubwa na hata kuongeza muda wa ziada ili kuboresha kazi zako ili kuweza kuvuta wateja wa kutosha.Tumia kitega uchumi chako kufanikiwa kwenye maisha kwa kujifunza njia mbali mbali unaweza ukazifanya ili kuzidi kuboresha biashara yako na mwishoni mafanikio hupatikana lakini yote ni kwa sababu ya juhudi zako.

MAHUSIANO  MAZURI NA WATU


Mahusiano yako na watu wanaokuzunguka ni daraja lililopo kati yako na mafanikio yako.Huwezi kufanikiwa katika shughuli zako kama mahusiano yako na watu wanaokuzunguka sio mazuri.Jamii au watu wanaokuzunguka ndio wateja wako wakubwa katika shughuli zako kwa hiyo pindi mahusiano yako yakiwa mabaya  na watu hao,shughuli zako za kiuchumi nazo zitakuendea vibaya kwa kuwa  umewapoteza watu ambao ndio wateja wako wakubwa.



A teacher was teaching her second grade class about the government, so for homework that one day, she told her her students to ask their parents what the government is. When Little Johnny got home that day, he went up to his dad and ask his what the government was. His dad thought for a while and answered, "Look at it this way: I'm the president, your mom is Congress, your maid is the work force, you are the people and your baby brother is the future." "I still don't get it" responded the Little Johnny. "Why don't you sleep on it then? Maybe you'll understand it better," said the dad. "Okay then...good night" said Little Jonny went off to bed. In the middleof the night, Little Johnny was awakened by his baby brother's crying. He went to his baby brother's crib and found that his baby brother had taken a crap in his diaper. So Little Johnny went to his parent's room to get help. When he got to his parent's bedroom, he looked through the keyhole to check if his parents were asleep. Through the keyhole he saw his mom loudly snoring, buthis dad wasn't there. So he went to the maid's room. When he looked through the maid's room keyhole, he saw his dad having sex with his maid. Little Johnny was surprised, but then he just realized somethingand thinks aloud, "OH!! Now I understand the government! The President is screwing the work force, Congress is fast asleep, nobody cares about the people, andthe future is full of shit!"
An 85-year-old man was requested by his doctor for a sperm count as part of his physical exam.
 The doctor gave the man a jar and said, "Take this jar home and bring back a semen sample tomorrow."
 The next day the 85-year-old man reappeared at the doctor's office and gave him the jar, which was as clean and empty as on the previous day. 
 The doctor asked, what happened and the man explained. 
"Well, doc, it's like this--first I tried with my right hand, but nothing. Then I tried with my left hand, but still nothing. Then I asked my wife for help. She tried with her right hand, then with her left, still nothing. She tried with her mouth, first with the teeth in, then with her teeth out, still nothing. We even called up Arleen, the lady next door and she tried too, first with both hands, then an armpit, and she even tried squeezin' it between her knees, but still nothing." 
 The doctor was shocked! "You asked your neighbor?" 
 The old man replied, "Yep, none of us could get the jar open."

A British General had sent some of his men off to fight for their country in the Falkland Island Crisis. Upon returning to England from the South American island, three soldiers that had distinguished themselves in battle were summoned to the General’s office. “Since we weren’t actually at war,” the General began, “I can’t give out any medals. We did, however, want to let each of you know your efforts were appreciated. What we’ve decided to do is to let each of you choose two points on your body. You will be given two pounds sterling for each inch of distance between those parts. We’ll start on the left, boys, so what’ll it be?” 
Soldier 1: “The tip of me head to me toes, sahr!” General: “Very good son, that’s 70 inches which comes to 140 pounds” 
Soldier 2: “The tip of the finger on one outstretched hand to the tip of the other, sir!” General: “Even better son, that’s 72 inches which comes to 144 pounds” 
Soldier 3: “The palm of me hand to the tip of me left pinky, sahr!” General: “That’s a strange but fair request, son! As the general begins the measurement: 
“What! Son, where is your left pinky?”
 Soldier 3: “Falkland Island, sahr
I was in the restaurant yesterday when I suddenly realized I desperately needed to pass gas. The music was really, really loud, so I timed my gas with the beat of the music. After a couple of songs, I started to feel better. I finished my coffee, and noticed that everybody was staring at me... Then I suddenly remembered that I was listening to my iPod
A teacher was working with a group of children, trying to broaden their horizons through sensory perception. She brought in a variety of lifesavers and said, "Children, I'd like you to close your eyes and taste these." The kids easily identified the taste of cherries, lemons and mint, but when the teacher gave them honey-flavored lifesavers, all of the kids were stumped. I'll give you a hint," said the teacher. "It's something your mommy probably calls your daddy all the time." Instantly, Little Johnny coughed his onto the floor and shouted, "Quick! Spit'em out! They're assholes!"
Little April was not the best student in Sunday school. Usually she slept through the class. One day the teacher called on her while she was napping, "Tell me, April, who created the universe?" When April didn't stir, little Johnny, a boy seated in the chair behind her, took a pin and jabbed her in the rear. "GOD ALMIGHTY!" shouted April and the teacher said, "Very good" and April fell back asleep. A while later the teacher asked April, "Who is our Lord and Saviour," But, April didn't even stir from her slumber. Once again, Johnny came to the rescue and stuck her again. "JESUS CHRIST!" shouted April and the teacher said, "very good," and April fell back to sleep. Then the teacher asked April a third question. "What did Eve say to Adam after she had her twenty-third child?" And again, Johnny jabbed her with the pin. This time April jumped up and shouted, "IF YOU STICK THAT F*****G THING IN ME ONE MORE TIME, I'LL BREAK IT IN HALF AND STICK IT UP YOUR ARSE!" The Teacher fainted
Cop on horse says to little girl on bike, "Did Santa get you that?" "Yes," replies the little girl. "Well tell him to put a reflector light on it next year!" and fines her $5. The little girl looks up at the cop and says, "Nice horse you've got there, did Santa bring you that?" The cop chuckles and replies, "He sure did!" "Well," says the little girl, "Next year tell Santa that the d*ck goes under the horse, not on top of it
So Little Johnny's teacher is warned at the beginning of the school year not to ever make a bet with Johnny unless she is absolutely sure she will win it. One day in class, Johnny raises his hand and says "teacher, I'll bet you $50 I can guess what color your underwear is." She replies, "okay, meet me after class and we'll settle it." But beforeclass ends, she goes to the restroom and removes her panties. After class is over and the studentsclear out, Johnny makes his guess. "Blue." "Nope. You got it wrong," she says as she lifts her skirt to reveal she isn't wearing any underwear. "Well come with me out to my dads car, he's waiting for me, and I'll get you the money." She follows him out. When they get to the car she informs his dad that he got the bet wrong and that she showed Johnny that she wasn't wearing any underwear. His dad exclaims: "That mother fucker! He bet me $100 this morning that he'd see your pussy before the end of the day!"

A new teacher was trying to make use of her psychology courses. She started her class by saying, "Everyone who thinks they're stupid, stand up!" After a few seconds, Little Johnny stood up. The teacher said, "Do you think you're stupid, Little Johnny?" "No, ma'am, but I hate to see you standing there all by yourself!"
A young and foolish pilot wanted to sound cool on the aviation frequencies. So, this was his first time approaching a field during the nighttime. Instead of making any official requests to the tower, he said: "Guess who?" The controller switched the field lights off and replied: "Guess where?"

A young man is about to get married, so he asks an older married man for advice. The older man thinks about it for awhile and says, "compromise."
The young man asks the older man, "Well, could you give me an example?"
The older man thinks about it and says, "I like the thermostat set at 65, and my wife likes the thermostat set at 70."
The young man asks, "What was the compromise?"
"We set it at 70."
I am just nerd enough to get the punchline. I'll explain what I got...
The original joke goes:
Two chemists walk into a bar. The first chemist tells the bartender, "I'll have an H2O." The second chemist says, "I'll have an H2O too." The second chemist dies (because the bartender game him H2O2, which is lethal if enough is ingested)
Now we have hitler chemists walking into a bar. If you know the original joke, then you're waiting for the ending you know. When the second hitler instead says, "I'll ALSO have a WATER" (instead of H2O, too), he doesn't get H2O2 as the first hitler had hoped. So the first hitler chemists failed to assassinate the second hitler chemist.
Did that help or hurt?

A man approached a very beautiful woman in the large supermarket and said, "I've lost my wife here in the supermarket." "Can you talk to me for a couple of minutes?"
The woman looked puzzled. "Why talk to me?" she asked.
"Because every time I talk to a woman with tits like yours, my wife appears out of nowhere!
Two guys, one old and one young, are pushing their carts around a shopping mall when they collide.
The old guy says to the young guy, "Sorry about that. I'm looking for my wife, and I guess I wasn't paying attention to where I was going."
The young guy says, "That's OK. It's a coincidence. I'm looking for my wife, too. I can't find her and I'm getting a little desperate."
The old guy says, "Well, maybe we can help each other. What does your wife look like?"
The young guy says, "Well, she is 24 yrs old, tall, with blonde hair, blue eyes, long legs, big boobs, and she's wearing tight white shorts, a red halter top and no bra. What does your wife look like?"
The old guy says, "Doesn't matter - let's look for yours."

WEMA SEPETU


 
Wema Sepetu alizaliwa tarehe 28, September 1988, ni mtoto wa mwisho kati ya mabinti wanne wa Mzee Sepetu.
Wema hakufikiria kama atakuja kuwa mmoja kati ya ma-star wakubwa hapa nchini hadi nchi za nje mpaka siku mmoja alipo kuwa kwenye matembezi yake Slypway Masaki alikutana na dada Mange Kimambi na kushawishiwa ashiriki mashindano ya Miss Tanzania 2006...

 Wema Sepetu aliibuka kidedea na kuwagalagaza Jokate Kidoti Mwegelo na Lisa Jensen

MAHUSIANO

Kabla ya kuwa miss Tanzania alikuwa na mpenzi lakini hawakudumu maana aliposhikilia taji alikuwa bize jambo lililomfanya akose muda wa kutulia na mpenzi  wake lakini muda mchache akakutana na Marehemu Kanumba na kuanza uhusiano . Kanumba ndiye aliye gundua kipaji cha Wema na ndiyo aliye muibua katika sanaa ya kuigiza.

Uhusiano baina ya Kanumbana Wema ulikwenda vizuri sana na nyota zao zote zikang'aa sana  hii ni kutokana walishirikiana katika movies zao na kufanya  kuzidisha umaarufu mara dufu.


 
 Pichani ni Wema na mpenzi wake Steven Kanumba enzi za uhai wake Kanumba .

 
Mahusiano ya Wema na marehemu Kanumba yalivunjika baada ya ugomvi uliotokea kati yako na Wema  kuamishia mapenzi  Jumbe.

Wema  akiwa na mpenziwake wa zamani Jumbe 

Mahusiano ya Wema  Sepetu na Jumbe pia hayakudumu sana na Wema  akajikuta  akiangukia mikononi mwa Chalz Baba.Kwa  bahati mbaya uhusiano huu pia haukudumu.


Baada ya kutulia kipindi bila kuwa kwenye mahusiano,Wema  akajikuta akiingia kwenye mahusiano kwa mara nyingine na mkali wa miondoko ya  R&B Tanzania na kwa Africa pia  “Diamond platinum”ambaye uhusiano wao ulikatishwa na skendo mbali mbali zilizokuwa zinatokea juu yao.
Picha ya Diamond na Wema

MAFANIKIO YAKE

Wema sepetu anamiliki kipindi cha television kinachojulikana kwa jina  la  "IN MY SHOES".na pia anajishughuisha na maswala ya mitindo ya mavazi.Pia anajishughulisha na  sanaa ya filamu.Kutokana na shughuli zake amekuwa ni mwanamke mwenye umaarufu mkubwa na mwenye hali  nzuri ya kiuchumi katika jamii.






LAD JAYDEE





Kuzaliwa kwake

Judith Wambura au Lady Jaydee alizaliwa  mkoani Shinyanga mnamo tarehe 15 Juni,1979 na wazazi wake Martha na Lameck Isambua Mbibo.. Baada ya kumaliza shule, Lady Jaydee aliwahi kufanya kazi Clouds FM kabla ya kuamua kujiingiza kwenye masuala ya muziki hapo mnamo miaka ya 2000

Safari yake ya musiki

Alianza kuimba akiwa na umri wa miaka saba. Alianzia kuimba kanisani kama ilivyo kwa wasanii wengi.Alianza kujibebea heshima katika medani ya muziki kunako mwaka wa 2000 baada ya kutoa albamu yake ya kwanza iliyokwenda kwa jina la "Machozi" na kutoa single kadhaa kutoka katika albamu hiyo na kumfanya kuwa mwanamama wa kwanza katika bongo flava kwa kutumia gharama kubwa ya ujenzi wa albamu katika historia ya muziki wa kizazi kipya.
Lady Jay Dee ni msanii mwenye kumiliki studio yake mwenyewe ya kurekodia. Studio inakwenda kwa jina la Jag Records.
Jay Dee, alishawahi kuchaguliwa kuwa Mwanamuziki Bora wa Kike wa Tanzania kwa muziki wa 
R&B mnamo 2002, na kutumbuiza katika kora All Africa Designers Competition, na kutuzwa "Albamu Bora ya R&B" katika Tuzo za musiki Tanzania kunako tar. 6 mwezi wa nane. Kunako mwezi wa Julai 2005, ameshinda tuzo ya "video bora ya msanii wa kike kwa Afrika Kusini"

Baadhi ya albamu za Jaydee ni;

·         Machozi (2000)
·         Binti (2003)
·         Moto (2005)
·         Shukrani (2007) 


**"Lady jy dee amewahibahatika kuolewa na mmojawa watangazaji wa clouse media Gardner G Abashi."

**Lady Jay Dee amepata mafanikio makubwa kutokana na kupewa mchango mkubwa toka kwa wanafamilia wake.